*Ombi Ombi Ombi....*
```Maandiko yanasema_
Tafuteni nanyi mtapata,
Ombeni nanyi mtapewa na
Bisheni nanyi mtafunguliwa:
Ndugu zangu kama kuna mdada ambae hajaolewa na anahitaji Mume tafadhali usikae kulia tuuu ukisubiri ule usemi wa mume bora anatoka kwa Bwana Huyu bwana ana njia nyingi za kumleta Mume sasa hebu njoo inbox😀👆```
Natangulia
🏃🏾🏃🏾🏃🏾🏃🏾
0 comments:
Post a Comment