Majambazi

MKURANGA, PWANI: Jeshi la Polisi limewaua watu 4 wanaosadikiwa kuwa majambazi katika majibizano ya risasi usiku wa kuamkia leo.

- Aidha Jeshi la Polisi lilikamata silaha aina ya Shortgun Pump Action ikiwa na risasi Tano ndani ya Magazini na nyingine 6 za Shortigun zikiwa ndani ya mfuko wa rambo pamoja na risasi nane za Pistol.

Share on Google Plus

About Gasper

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment