Gumbiro News ni blog pekee inayokuletea Habari kijanja kwako kutoka sehemu mbalimbali Duniani kote.Karibu na ufarahie habari za michezo,biashara,na ajira za kila siku.
Sunday, October 23, 2016
UCHAGUZI DAR
DAR: Uchaguzi wa kumpata Meya wa Halmashauri ya Ubungo umeahirishwa baada ya Madiwani wa UKAWA kususa wakidai CCM imeongeza wajumbe.
- Aidha Madiwani hao wamedai kuwa wajumbe wawili wa UKAWA wamehamishwa ili kurahisisha ushindi kwa CCM.
No comments:
Post a Comment