Wednesday, November 2, 2016

Bashe azungumzia hali ya uchumi

BUNGENI: Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe amesema Mipango ya Uchumi ya Serikali ni mibovu na hali mtaani ni mbaya, hakuna pesa.

- Amemtaka Waziri wa Fedha kutotoa taarifa zinazopotosha umma. Amesema taarifa za ukuaji wa uchumi za serikali haziendani na hali halisi

No comments:

Post a Comment