AKILI NI MALI

- Hajalipia kadi ya uanachama zaidi ya mwaka sasa.
- Mara zote alikuwa akilipiwa na Manji.
- Hana kazi yoyote, Yanga ndio imekuwa ikimlisha na kumgharamia.

Ila anajinasibu kuwa

" Yanga haiwezi kukodishwa kama masufuria ya shuhulini, Manji ametukuta na atatuacha. . Hata akisusa mimi mwenyewe nna hela za kuweza kuiendesha klabu "

NENO MOJA KWA MZEE AKILIMALI.

Share on Google Plus

About Gasper

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment