Saturday, October 22, 2016

AKILI NI MALI

- Hajalipia kadi ya uanachama zaidi ya mwaka sasa.
- Mara zote alikuwa akilipiwa na Manji.
- Hana kazi yoyote, Yanga ndio imekuwa ikimlisha na kumgharamia.

Ila anajinasibu kuwa

" Yanga haiwezi kukodishwa kama masufuria ya shuhulini, Manji ametukuta na atatuacha. . Hata akisusa mimi mwenyewe nna hela za kuweza kuiendesha klabu "

NENO MOJA KWA MZEE AKILIMALI.

No comments:

Post a Comment