Gumbiro News ni blog pekee inayokuletea Habari kijanja kwako kutoka sehemu mbalimbali Duniani kote.Karibu na ufarahie habari za michezo,biashara,na ajira za kila siku.
Wednesday, October 19, 2016
Msimu wa baridi ulaya
Msimu wa baridi (winter) unaingia Ulaya. Mbwana Samatta ametweet picha hii akisema 'baridi kali'. Samatta ametajwa katika orodha ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa CAF Afrika 2016
No comments:
Post a Comment